iqna

IQNA

jumuiya ya wanachuo
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika mazungumzo na wawakilishi wa Baraza Kuu la Muungano wa Jumuiya za Wanachuo wa Kiislamu barani Ulaya kuwa suala la maendeleo ya kisayansi na kuvuka mipaka ya elimu halipasi kusahaulika.
Habari ID: 3476348    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02